00:00:00 IGIHE NETWORK KN KINYARWANDA EN ENGLISH FR FRANCAIS

Wamutumainiyo

Yanditswe na

Richard IRAKOZE

Kuya 5 Werurwe 2012 saa 10:54
Yasuwe :

Eeeeeeeeee, Uhhhhhhhhhh, Mfalme wa wafalme Bwana mwenye nguvu. 1. Kama si Bwana Yesu aliye kuwa pamoja nasi Wanadamu walipo tushambulia papohapo wangelitumeza hai Maadui walipo tushambulia papohapo wangelitumeza hai Maana Bwana Mungu atanisaidia, kwa sababu hiyo sikutahajali Kwa sababu hiyo nimekaza uso wangu kama gumegume Nami najuwa yakwamba sitaona haya yeye anipatiaye haki yangu yu karibu. Chorus/Inyikirizo Wamtumainiyo Bwana nikama mlima sayuni Ambao hautatikisika, wakaa milele Kama (...)

  • Eeeeeeeeee, Uhhhhhhhhhh, Mfalme wa wafalme Bwana mwenye nguvu.
  • 1.
  • Kama si Bwana Yesu aliye kuwa pamoja nasi
  • Wanadamu walipo tushambulia papohapo wangelitumeza hai
  • Maadui walipo tushambulia papohapo wangelitumeza hai
  • Maana Bwana Mungu atanisaidia, kwa sababu hiyo sikutahajali
  • Kwa sababu hiyo nimekaza uso wangu kama gumegume
  • Nami najuwa yakwamba sitaona haya yeye anipatiaye haki yangu yu karibu.
  • Chorus/Inyikirizo
  • Wamtumainiyo Bwana nikama mlima sayuni
  • Ambao hautatikisika, wakaa milele
  • Kama milima inavyo zunguka Yerusalemu,
  • Ndivyo Bwana anavyo zunguka watu wake.
  • Hata wayapitie mambo magumu, hawatarudi nyuma;
  • Hata wajaribiwe kiasi gani, hawatashindwa.
  • 2.
  • Vitumainiwavyo ni vingi, kumtumaini Mungu ndicho kitu cya thamani
  • Vinavyo dumu navyo ni vingi, vitokavyo kwa Yesu ndivyo vya milele
  • Usiye mtumaini mwanadamu wala kitu chochote
  • Kaza mwendo na ujipe moyo umtumikie kwa moyo wako wote
  • Mtumaini Mungu naye atakushindia
  • Hakuna aliye kuja kwake na akapata haya
  • Hakuna aliye mtumikia
  • Hakuna aliye kuja kwake na akafedheheka
  • Chorus/Inyikirizo
  • Wamtumainiyo Bwana nikama mlima sayuni
  • Ambao hautatikisika, wakaa milele
  • Kama milima inavyo zunguka Yerusalemu,
  • Ndivyo Bwana anavyo zunguka watu wake.
  • Hata wayapitie mambo magumu, hawatarudi nyuma;
  • Hata wajaribiwe kiasi gani, hawatashindwa.
  • Bridge
  • Wamtumainiyo Bwana nikama mlima sayuni
  • Ambao hautatikisika, wakaa milele
  • Kama milima inavyo zunguka Yerusalemu,
  • Ndivyo Bwana anavyo zunguka watu wake.
  • Hata wayapitie mambo magumu, hawatarudi nyuma;
  • Hata wajaribiwe kiasi gani, hawatashindwa X2
  • Ad Lib
  • Yeeeeeeee lelelele, Ehhhhh, Wamtumainio Bwana ni kama ah ah ah ah
  • Oh wamtumainio Bwana
  • Wamtumainio Bwana hawatashindwa.


KANDA HANO USHOBORE KUMVA
  Wamutumainiyo By Liliane Kabaganza

Kwamamaza

Kwamamaza

Izindi nkuru wasoma

Inkuru ziheruka - Indirimbo

Maisha
13/03/12 - 12:18
Kwamamaza

TANGA IGITEKEREZO

AMATEGEKO AGENGA IYANDIKA RY'IGITEKEREZO CYAWE

Kwamamaza

Special pages
. . . . . .